Home
About Us
Photo Gallery
Home
Planner
Planner
 
  TOPIC: Cheating

 

Habari zetu wana HY.jamani mimi na swali naombeni maoni yenu eti kunamsemo nimeusikia mtaani.Cheating helps the marriage?eti ndani ya ndo mmoja wenu akiwa anatoka nije inaimalisha ndoa? Tafadhalini nipeni maoni yenu.
  Topic by:Mariam Date: 2012-08-01   
       
  E-MAIL ME FOR NEW POST    
     
  Inavunja ndoa  
  Reply by: Anonymous , Date: 2012-08-01 13:37:26 [Report Abuse]    
     
  nothing like that.Ni uzushi tu na uhuni wa watu kutaka kutimiza haja zao za miili.  
  Reply by: Anonymous , Date: 2012-08-01 15:27:41 [Report Abuse]    
     
  ni kweli inaimarisha ndoa  
  Reply by: Anonymous , Date: 2012-08-01 21:28:34 [Report Abuse]    
     
  Wewe dada ingekuwa busara kama ungemwaga dondoo ulizosikia huko mtaa ili wana jamvi tuweze kupata pa kuanzia kuchangia,vinginevyo itakuwa ni udaku kama tulivyouzoea.Pamoja na "Uaminifu" kuwa adimu nyakati hizi,sidhani kama kutoka nje ya Ndoa kunaweza kuimarisha mahusiano ya wahusika zaidi ya kuwaparaganyisha.Ni tafsiri ya kawaida kabisa labda wachangiaji wengine watakuwa na mtizamo tofauti na wangu.  
  Reply by: Mushobozi, Date: 2012-08-02 03:03:58 [Report Abuse]    
     
  Naitwa Malaika: Kwa mtazamo wangu nadhani kuna chembe chembe za ukweli juu la suala hili, tusiwe wanafiki jamani tuwe wakweli na tuzingatie hali halisi. Sisi binadamu tuna tabia ya kuukimbia ukweli, ingawa upo, tunaushuhudia kila siku. Hii ni blog ya masuala ya harusi, ndoa na mahusiano hivyo ni vema tukawa wakweli ili wengine wajifunze kutokan ana uzoefu unatolewa na wachangiaji mbalimbali. Kabla kukurupuka kujibu suala hili ni muhimu kujiuliza maswali mawili muhimu kwa mujibu wa mleta hoja. 1) Nini maana ya ndoa iliyo salama, au ndio iliyojengeka na imara?? Kwa mtazamamo wangu ndoa salama na iliyoimarika ni ile iliyojengwa kwa misingi ya UPENDO, FURAHA NA AMANI (Huu ni mtazamo na tafsiri yangu mimi) kwasababu wengine wanaweza kuwa na mitazamo na tafsiri tofauti kwa wao. 2) Nini maana ya cheating na inasababishwa na nini? (Kumsaliti mwanandoa mwenzako kimapenzi). Kwa mtazamo wangu ni kwamba 'cheating' ni kuchepuka/kutoka nje ya ndoa au uhusiano fulani wa kimapenzi na kwenda kufanya mapenzi au mazingira ya kimapenzi na mtu mwingine. Cheating husabababishwa na mambo mengi lakini miongoni mwao ni pamoja na ngono, hisia za kimapenzi na sababu za kiuchumi. Yaani wanaotoka wameona au wanahisi kwamba wenza wao aidha wana upungufu na kwa kujua au kutojua hawawaridhishi kingono, au wanahisi wanachpata hakitoshi na wanataka zaidi ya hicho na hivyo hawapati kimojawapo kati ya ngono, hisia za mapenzi au wana matatizo ya uchumi - inabidi wachepuke nje wakapate mojawapo ya vitu hivi. Kuna wengi wapo katika ndoa kwa muda mrefu lakini wanaumia sana, wamepungukiwa na kimojawapo ya vitu hivyo. Kuna wanandoa wengi ambao wana mapungufu katika ndoa. Kinachotokea ni kwamba mwana ndoa huyu anajua na anakubali kwamba mwenzangu ana mapungufu, na bado anampenda, anamjali na ameapa kwamba atakuwa naye milele wakati wa shida na raha na hana mpango wa kumwacha. Lakini kimya kimya kwa usiri mkubwa sana inabidi atafute fursa ya kufidia au kuziba pengo la upungufu mmojawapo ( inategemea yeye anasumbuliwa na upungufu upi kati hizi tatu) hivyo anatoka nje, anatimiza haya yake, kwa siri (Anapata ridhiko la moyo) kisha anarudi kwake akiwa na furaha, hatamsumbua mwenzake ataendelea kumpenda na nyumba itakuwa na amani furaha na upendo kama kawaida. Hali hii inaweza kuendelea hata wa miaka kumi hata zaidi na zaidi. Hali halisi ni kwamba mwana ndoa ambaye anahisi kwamba anahitaji kitu zaidi (Kingono, kihisia au hali inayosababishwa na uchumi) akiendelea kumdai mwenzake, ni rahisi sana kutokea ugomvi, hasira, na malalamiko yasiyokwisha katika ndoa na hii inaweza kupelekea kutokuwepo kwa UPENDO, FURAHA NA AMANI na mwisho wake hakutakuwa na ndoa. Natumai nimekujibu swali lako naitwa malaika kwa maelezo zaidi niandikie kwenye  
  Reply by: Anonymous , Date: 2012-08-02 03:32:55 [Report Abuse]    
     
  malaika hapo juu,maneno meengi lakini hujui neno moja tu linaitwa maadili!we ukiambiwa kuingiliwa na baba yako ni kuzuri na kutamu kuliko mumeo utafanya kwa vile ni tam zaidi?  
  Reply by: Anonymous , Date: 2012-08-02 04:30:06 [Report Abuse]    
     
  Ndugu mchangiaji wa 2012-08-02 04:30:06 Sio lazima kila mmoja wetu achangie kila hoja inayoletwa hapa, kama unaona hoja iliyopo ni nje ya upeo wako KUNYAMAZA utakuwa ni uamuzi wa busara sana kwako. Hoja hujibiwa kwa hoja, na wala sio kuwahukumu wengine kwamba kwamba wanatumia 'maneno mengi' au 'hawajui maadili'. Kama unaamini kwamba masuala ya maadili ni muhimu, basi toa maelezo ya kina hapa, shusha darasa ili watu waelewe na tujifunze kutokana na hoja zako. Hoja iliyoletwa ni nyeti na haiwezi kujibiwa kwa sentensi moja. Kwa wanaotaka kujifunza na kuelewa, uwingi wa maelezo si tatizo, tena watataka zaidi. Kwa wengine wasiotaka kusoma na kujifunza wakidhani kwamba tayari wanajua, lazima wataona kwamba maelezo haya ni mengi. NAAMINI hii ni blog ya masuala ya harusi, ndoa na mahusiano na pia NAAMINI kwamba wachangiaji wengi ni watu wazima na wenye akili timamu, hivyo ni vema tukawa wakweli ili wengine wajifunze kutokana ana uzoefu unatolewa na wachangiaji mbalimbali. Tujenge tabia ya kuangalia na kusikiliza kwanza ili tujifunze maoni na mtazamo wa upande wa pili jinsi unavyoona, SIO LAZIMA tukubaliane na upande wa pili, lakini kama tunaamini kabisa tunachokisema, basi tujifunze kujenga hoja, ili tueleweke na tusiwe wakali wa kulazimisha hoja zetu zkubalike wakati hatutoi maelezo ya kutosha. Malaika.  
  Reply by: Anonymous , Date: 2012-08-02 07:02:37 [Report Abuse]    
     
  Hatuwezi kujadili upumbavu!  
  Reply by: Anonymous , Date: 2012-08-02 08:13:54 [Report Abuse]    
     
  Huweji kujadili hoja kwasababu HUNA hoja wala upeo wa kujadili, hiki ni kielelezo cha udhaifu na upungufu wako, hoja inayopingana na wewe kwako hiyo si hoja, unachotaka ili uiunge mkono lazima iendane na unavyotaka wewe, acha utoto kua ujifunze  
  Reply by: Anonymous , Date: 2012-08-02 10:17:19 [Report Abuse]    
     
  Jamani humu ndani nimesoma na kujifunza mengi sana lakini hili la leo naona limenichafua ufahamu, na kugundua kweli watu wanajitahidi kubatilisha ukweli na kuweka yale wanayoyataka yawe ukweli Mh Mh Mh mimi hapa naona nimeishiwa cha kusema. Salua.  
  Reply by: Anonymous , Date: 2012-08-02 10:40:34 [Report Abuse]    
     
  KU-CHEAT kunaweza kuimarisha ndoa? hili swali si la kijinga hata kidogo! tuache uvivu kufikiri. ku cheat ni kubaya sana lakini inaweza kuwa tiba wakati fulani japo kungeweza kuwa na tiba mbadala. Sasa nitoe experience yangu. Mi ni mke. Niligundua kuwa mume wangu anatembea na rafiki yake wa karibu ambaye mi nilikuwa namheshimu sana kama wifi. Hakuwa mzuri kunishinda na alikuwa mkubwa kiumri kuliko mume wangu. Wakati mi sijagundua uharamia wao mume wangu alianza kupoteza hamu ya kufanya mapenzi na mimi. alikuwa hataki kabisaa na akijitahidi basi goli moja tena ndani ya dk 5. Nilivumilia miezi kama 6 nikahisi labda mwenzangu ana madeni au jambo gumu asilotaka kunishirikisha hivyo nikaridhika kukaa kiseja ndani ya ndoa. kilichokuwa kinaniuma zaidi ni kuwa hakuwa anataka hata tukae karibu, nimshike au nimkumbatie. nikijaribu kumkumbatia anatoa mikono yangu anasema kuna joto!! Baadae nikaja kugundua kuwa yuko mapenzini na wifi/rafiki. siwezi kuelezea namna nilivyojiskia humu mkanielewa. nilijihisi nimepoteza mvuto, labda sijui mapenzi n.k mbaya zaidi nikafikiri kuwa baada ya mimi kugundua basi mwanzangu angejirudi. basi ndo akawa baridi kabisaa nadhani alikuwa anammisi mpenzi wake. Baadae kidogo nikasafiri kikazi nikakutana na mkaka mzuri wa sura na umbo. tukaanza kuzoeana na tukajikuta tunaanza kushea experiences zetu za kimapenzi. safari ilikuwa ya wiki 3. ndani ya mda huo nilianza kungonoka na yule mkaka. ulikuwa utamu balaa. nikaanza kujihisi mwanamke tena. kuna mi mzuri, kumbe kungonoka nimo....(inaweza ku-sound upuuzi). kwa kweli nilifarijika sana na confidence ikarudi upya kuwa mi mwanamke wa shoka. nilivyorudi home nikashangaa mume kaja kunipokea kwa bashasha akanipeleka hotelini, akaniomba msamaha tukafanya majamboz ile mbaya (maswala ya VVU badae). kwa ufupi yule mkaka alinirudishia kujiamini. kama mtasema nilijiskia vizuri baada ya kulipa kisasi sawa ila mimi sikufanya vile kulipa kisasi, nilikuwa nimemisi kuthaminiwa. baada ya kujiona mwenye thamani nikarudi kwenye ndoa. nahisi kuwa nisinge-cheat kule safarini ningerudi kwangu na kinyongo na huzuni na msongo wa mawazo na ndoa ilikuwa inaelekea kuvunjika. Kungeweza kuwa na njia nyingine takatifu lakini hii mimi ilisaidia. NDERA  
  Reply by: Anonymous , Date: 2012-08-02 13:26:46 [Report Abuse]    
     
  Malaika, na Ndera, nimewapendajeeeee kwa maelezo na experience yenu katika jambo hili!!! Yaani mmnena ukweli kabisaaaaaaaaaa. Malaika umeongea vizuri mno, na Ndera umepasua jipuuuuuu.Wanaokasirishwa na hayo maelezo yenu wana upungufu wa kufikiria, na zaidi ni wale washika maadili kwa akili nyepesi.yaani hawafikiri "in and out". Mnielewe vizuri ndugu zangu si kwamba nafagilia udanganyifu katika ndoa,la hasha, lakini ukweli ni muhimu uwepo bayana pale unapohitajika. Si kwa silimia kubwa kwamba cheating inaimarisha ndoa, lakini kwa viegezo walivyovitaja Malaika na Ndera vinasaidia kuimarisha ndoa. Nina mifano mingi ya watu ninao wajua ambao wamepitia hayo na ndoa zao zimeimarika.Kuna wengine wanashindwa kuzaa, na badala yake mama anatotoa na mwingine ndoa inaendelea. Kwa watu wasio na matatizo hao hawana haja ya kutoka nje ya ndoa zao.lakini kwa wale wanaopata shida ya kutoshiba au kuthaminiwa basi ili kudumisha ndoa zao wanahitaji "to find out something to replace in a good manner" na kama mama unaridhishwa mahali amani na upendo utaendelea na malezi ya watoto kuliko kupiga kelele za kutoshibishwa. Akili ni mali na kila mtu atumie katika kujitatulia matatizo yake. Unafiki hauhitajiki katika ndoa unapoona una njia ya kuondoa dosari huna budi kufanya hivyo. Ndera, hakuna cha kujihukumu bali kujipongeza kwa sababu ulilifanya lililokuletea afya ya moyo, na furaha ya mwili na kuthamini mwili wako na hatimaye kudumisha ndoa yako. Kwa unayebisha jaribu kuvumilia mateso uone kama utafika na safari ya njia hiyo.  
  Reply by: Anonymous , Date: 2012-08-02 14:00:34 [Report Abuse]    
     
  Mimi nina rafi zangu fulani hivi. Wamedumu katika ndoa kwa miaka mitano wakati wanagombana kwa sababu ya waume zao kutowaridhisha.Walijaribu kuleta matatizo yao kwenye mitandao hii tofauti inayojishughulisha na mambo ya utatuzi wa mahusiano,mapenzi, ngono nk. Hawakuweza kupata suluhisho zaidi ya kuongeza uhasama.Kila walipojaribu kushawishi waume zao waende kuwaona mabingwa au kutumia viagra an vyakula fulani viletavyo nguvu,haiku-work out. Siku moja mmoja wa rafiki zangu, alikutana na jamaa mmoja kilini mahali fulani alikokwenda kuhani kwa siku tatu. Siku ya kurudi alipanga kukutana hotel na mwanaume huyo maana ilikuwa lazima alale mjini ndipo safari ya moja kwa moja ianze.Siku hiyo jamaa alimtuliza kiasi kwamba lipofika nyumbani akawa ni mtu mpya mwenye furaha. Tangu siku hiyo huyo jamaa huwa anaenda mji wa huyo mama kila mwezi hutumia siku mbili kumkamilishia kile anachokikosa kwa mumewe, na ugomvi umeisha mama katulia kabisaaaa akiwa na mumewe hata akojoe baada ya dakika moja hajali na hapigi kele na maana anajua siku ya kufidiwa na yule wa nje. Na ndoa inaendelea vizuri na kulea watoto wao wawili kunaendelea vema,ila kelele na ugomvi kwishaaaaaa. Na Mdada mwingine yeye alilipiza kisasi baada ya kuona mumewe hashikiki na mbaya zaidi alitembea hata na binamu wa mke wake. Na yeye ilibidi amfanyie kimachomacho mbona jamaa alikoma wivu juu ,maana mke wake ni bomba hasa kuliko hao aliokuwa nawanga nao.Hadi leo amekoma analinda chake maana watu walimjii juu kwamba unatafuta nini huko nje na mke wako kila kona akipita watu wanammezea mate wewe unamwacha ndani unakimbilia nje?Siku hizi ana adhabu zote na ndoa iko safiiii. Ukweli huo upo jamani msibishe kwa kusema oo sijui maadili!!Kwa wewe ambao hayajakutokea ni rahisi kubeza ,subili yatakapojiri kwako utakiona cha moto.  
  Reply by: Anonymous , Date: 2012-08-02 14:39:32 [Report Abuse]    
     
  Hebu tuwekani sawa hapa, wengi tunakubaliana kwamba cheating si jambo jambo jema, ni mbaya, haifai, hatuhimizi watu wafanye hivyo, na dini zote zinakemea suala hili. Lakini tunachosema, katika 'hali halisi' tumeshaona mara nyingi na tumeshuhudua kwamba kuna watu wengi hiyo cheating imewasaidia 'kutulia' kupata furaha, amani na kuzirudisha ndoa zao kwenye mstari. Sio njia sahihi, lakini imefanya kazi kwa baadhi ya watu, tukubali tukatae huo ndio ukweli na ndio hali halisi. (We don't like it but it's a reality) Baadhi ya watu wametoa ushuhuda jinsi gani cheating ilivyowafanya watulie na wawe na amani. Natambua kwamba ukweli huu, unaweza kuleta hofu na kuwatisha baadhi ya watu, kwasababu hawataki kuukabili ukweli, lakini ukweli ndio huo. Kama upo katika ndoa au mahusiano ya dhati, jaribu kumsikiliza, kumsoma, kumwelewa mwenzako anataka nini na ujitahidi 'umtimizie' mwenzako haja zake za (za unyumba, kihisia na kiuchumi). Ni kama vile ilivyo hali ya rushwa nchini, kila kona, kila mtu anasema kwamba ni mbaya, haifai na tuipige vita, lakini hali halisi(Reality) ni kwamba wengi wetu tunatoa na kupokea rushwa kwa sana tu, na mambo yanaenda - furaha, amani ipo nyumbani. Samahani kwa maneno meeeeengi!! Malaika  
  Reply by: Anonymous , Date: 2012-08-03 03:05:15 [Report Abuse]    
     
  WEWE ANONYMOUS 2012-08-02 10:17:19 MWENDAWAZIMU KWELI HATA MTU AKIKUAMBIA LALA NA BABA YAKO UPATE UTAJIRI UTAANZA KUJADILI NA KUFIKIRIA JINSI YA KUFANYA??? WAKATI UNAJUA KABISA MAADILI HAYARUHUSU!! SI KILA HOJA NI YA KUJADILI LABDA KAMA UMETOROKA MIREMBE! WEWE NDO UKUE UJUE HOJA NI KITU GANI?? UPUMBAVU HAUWEZI KUA HOJA HATA SIKU MOJA!! BADO TANZANIA HAIJAHARIBIKA KIMAADILI KIASI HIKO. PELEKA KIZAZI CHAKO CHA NYOKA HUKO HUKO KWENYE UKOO WENU!  
  Reply by: Anonymous , Date: 2012-08-03 06:37:46 [Report Abuse]    
     
  NGOJA NIMALIZIE UMEONA EEH SALUA, HAWA NDO MAPUNGUANI NA MAFREEMASON WANAOTAKA KUTUHARIBIA KIZAZI CHETU TUKUBALIANE NA MAMBO YAO MACHAFU!! WASHINDWE NA WALEGEE......PHEEEEEEW!  
  Reply by: Anonymous , Date: 2012-08-03 06:42:10 [Report Abuse]    
     
  JAMANI MSIJISUMBUE WALA KUZUNGUKA HUKU NA HUKU CHEATING IMO TENA SANA ILA INATEGEMEA NA MAZINGIRA YAPI SIO ZILE MNAZOZIJUA ZA KUFUMANIANA NA KUPIGANA NA KUVUANA NGUO KUNA WANANDOA WANA MAJERAHA MAKUBWA MOYONI YAANI HATA ALIKUWA NI MUOMBAJI LAKINI MWISHO WA SIKU ANAISHIWA NGUVU KABISA ANABAKI HANA JIBU SASA NA YEYE ILI AJIFURAHISHE NAFSI YAKE NA AZIDI KUITUNZA NDOA INABIDI ACHEAT WALAU ASILUMBANE NA MUME/MKE WAKE NA NDOA INAZIDI KUSONGA MBELE,KWA MFANO UNAKUTA MUME AMEPATWA NA MARDHI HWEZI TENA KUFANYA TENDO LA NDOA AU ANA KISUKARI AU NGUVU ZIMEISHA SASA MKE ANAPATWA NA WAKTI MGUMU HAWEZI KUMUACHA MUMEWE INABIDI AWE NA MTU WA PEMBENI AMTIMIZIE HAJA YAKE THEN ANAENDELEA NA MUME WAKE NA ANAMHESHIMU NA KUMPENDA, AU UNAKUTA WKE WENGINE ANAGOMA KUMPA UNYUMBA MUME WAKE SIKU ZOTE ANAKUWA NI MTU WA VISIRANI TUUU SASA NA BABA NAE ANAONA ISIWE TABU HAPA TUSIGOMBANE KILA SIKU NA VIKAO VYA USULUHISHI VYA KILA SIKU NAVYO VINACHOSHA ANAAMUA KUTAFUTA WA PEMBENI ANATIMIZIWA HAJA ZAKE AKIRUDI NDANI KIMYA HANA HATA UGOMVI NA MTU NA NDOA INAZIDI KUSONGA MBELE, HUO NI MTAZAMO WANGU TUU NA NINA MIFANO HAI YA WANANDOA WENGI WANADUMU KWA STYLE HZ HZ JAPO BEHIND THAT KWA UPANDE WA MUNGU SIJUI ANALIJUDGE VIPI KWA KWELI.  
  Reply by: BQ, Date: 2012-08-03 07:53:01 [Report Abuse]    
     
  Furaha yoyote iletwayo na udhalimu(cheating) ni yenye kutoweka kabisa! Hiyo ni furaha bandia, ni furaha feki!Hizi ni zama ambazo iblis anatenda kazi yake kwa nguvu. Iblis ameidhinisha haramu imekuwa halali. Rushwa, cheating, usagaji, ushoga, kamali na kila aina ya udhalimu vimefanywa kuwa halali na jamii imeanza kuvipokea, yote hii ni kazi ya iblis akiwatumia mawakala wake madhubuti na wenye uwezo wa kutetea hoja kwa ndimi zao zenye kidani cha iblis! Hawa mawakala wapo duniani, mfano wake ni Malaika na Ndesa. Hao wamekula khasara, kwani furaha yao ni yenye kutoweka kabisa, kitakachofuata ni kilio cha kusaga meno. Sishangai maneno ya malaika na ndesa, kwani hao ni watumish wa iblis na hiyo ndio kazi waliyopangiwa, ni lazima waitende kwani mshahara wanalipwa(furaha bandia). Hizi ni nyakati ngumu mno kwa watu wanaopenda kushikamana na njia ya Mungu kwani kila sehemu kumezingirwa na ubatili! Ni zama ambazo wajenzi huru(freemasons) wanaijenga upya fikra ya mwanaadamu iwe vile wanavotaka. Watu wengi ni wanachama wa freemasons bila wao kujua akiwemo Malaika! Utetezi wa hoja zako Malaika na Ndesa unadhihirisha wazi kwamba ninyi ni wajenzi huru wa fikra za watu, ziendane vile mtakavyo ninyi! That means you r freemasons. Tubuni kwa mola wenu, binadamu wote huwa tunakosea lkn si jambo jema kufurahia makosa na kuhamasisha wengine watende eti kwa hoja kwamba ni halali kwa vile wewe ulitenda na hukudhurika. Huo ni ushetani. Kumbukeni maneno ya Mungu ktk vitabu vitakatifu yanasema, "Mzinzi humuoa mzinzi mwenzake". Nawakilisha. Alli  
  Reply by: Anonymous , Date: 2012-08-03 11:35:33 [Report Abuse]    
     
  Alli, Tangu lini umekuwa Muumba kutabiri kutoa hukumu kwa watu kwamba wao ni mashetani!!?? Usijisahau wewe mwenyewe ni binadamu kama wengine. You are missing the point, hakuna aliyesema kwamba cheating ni halali na wala si jambo jema, tunachosema ni kwamba ipo, (Haijalishi kwamba ni halali au haramu) IPO, inafanyika sana, ni tatizo kubwa la kijamii, lakini pamoja na hayo kuna watu imewapa utulivu na amani katika maisha yao ya ndoa na uhusiano, ndio hali halisi (reality). Nanukuu tka kwako: 'Furaha yoyote iletwayo na udhalimu(cheating) ni yenye kutoweka kabisa!" Huu ni uongo wa mchana kweupe! Utamu na kudumu kwa kwa furaha ya mtu husika imo na inabaki kwa mtu huyo huyo mwenyewe, wewe wa pembeni HUWEZI kuitafsiri wala kuonja ladha ya furaha ya mtu mwingine. Ni sawasawa na kusema kwamba yule anayevuta sigara utamu wake utaisha katikati ya nusu ya sigara, wewe utajuaje ili huvuti hiyo sigara??!! Kama unaweza kutumia hivyo unavyoviita 'vitabu vitakatifu' hebu tusaidie hapa namna gani ya kujiepusha na cheating??? Hebu tusaidie mwanandoa aliyekaa miaka sita hadi kumi, mwenye afya njema kabisa na viungo vyake vyote vinafanya kazi bila wasiwasi,lakini hapati haki na haja zake za msingi za ndoa (Ki - unyumba, Ki - Hisia, na wakati mwingine Ki - Uchumi) na mwenzake imedhibitika kwamba hawezi kumtimizia hizo haja, afanyeje???!!! Usiwatishe watu hapa, huu ni uwanja huru waache watu watoe maoni yao kwa uhuru na raha zao, tumia umahiri wako wa dini au vitabu vya mungu uwasaidie - Ni nini kinachosababisha cheating na wafanyeje ili waepukane nayo??????!!! Halafu kwa taarifa yako tu ni kwamba: Kiswahili fasaha tunasema 'NAWASILISHA' sio nawakilisha (Haya ni maneno mawili yenye maana tofauti kabisa. Nawasilisha, Malaika  
  Reply by: Anonymous , Date: 2012-08-03 12:29:15 [Report Abuse]    
     
  Ahsante Malaika, ni kweli nimekosea kiswahili, nawasilisha. Neno langu linabaki palepale, ni kweli cheating ipo, lakini fursa ya ww kutetea, kufurahia na kushabikia cheating ni ushetani. Uhuru wa kujenga fikra za watu ili wajione salama na wenye furaha ndani ya dhulma kubwa wanayoitenda ni ufedhuli. Na hiyo ndio kazi unayoitenda Malaika, kazi hiyo ni ya mikono ya shetani. Ukiendelea hvo basi uwe na hakika kuwa ni mwanachama halali wa freemason, unayemudify fikra za watu zienendene kishetani kupitia wavuti Alli  
  Reply by: Anonymous , Date: 2012-08-03 14:07:31 [Report Abuse]    
     
  Halafu hiyo amani ya cheatng unayoisema malaika ni amani ya kinafiki! Hamna amani ndani ya penzi unalojua kwa hakika kuna cheating ndani yake, amani hiyo ni ya kinafiki, hata furaha pia ni ya kinafiki! Furaha ya kweli daima ipo tofauti kabisa na unafiki. Nataka nikwambie, hulazimishwi kukaa ndani ya ndoa, kama unaona hali ya kiuchumi ya mwenza haikuridhsh, au hakuridhsh ktandan, na unaona huwezi kuyavumilia hayo, ni vema kuachana kwa wema kwakuwa mlango upo wazi. Nenda katafute utakakopata vyote uvitakavyo ili upate amani na furaha ya kweli japo unaweza ukaukosa upendo Nawasilisha. Alli  
  Reply by: Anonymous , Date: 2012-08-03 14:18:40 [Report Abuse]    
     
  Alli, jibu hoja na wala si mashambulizi.Wewe ndio mnafiki sana kwani dhambi iko kwenye cheating tu?Na hayo unayoyafanya mabaya huoni ni ushetani pia? Hujamsoma vizuri Malaika alichosema.Hapa hakuna aliyeshabikia udanganyifu kama njia halali ya kuleta furaha, bali watu wamebaini kuwa kuna udanganyifu ukitumiwa unaweza kugeuza huzuni ikawa furaha kutegemeana na hali halisi ya mazingira ya tatizo.Usijumlishe mambo kihivyo dhamiri ya mtu ndio iliyo na jibu kwa mtu mwenyewqe anayetenda jambo.Malaika na ndera wamenena vizuri sana. Kwa wale ambao wamewahi kuomba visa kwenda Marekani watakubaliana na mimi kwamba walio wengi wanaotumia uongo wa documents za kuwahalalisha ndio wanaofanikiwa kuliko wanaotumia documents za ukweli.Hapo haina maana hao watu ni wadhambi, bali ni kulingana na mazingira yalivyo na ugumu kupata visa ni lazima mtu atafute njia mbadala inayoweza kumsaidia kupata visa.Huyo mtu anabaki kuwa na furaha na amani akifanikiwa kupata visa,kuliko yule aliyetumia uhalali wote na akanyimwa.Umenipata hapo? Mimi ni mmojawapo niliyetumia changa la macho kufikisha ujumbe hapo na nikafanikiwa kupata visa, na wenzangu niliokuwa nao wakiwa na taarifa halali kabisa walikosa hadi leo wanalialia na ubalozi wakati mwenzao nakamilisha ndoto yangu vizuri iliyonileta hapo. Kuna uongo ukitumiwa hunusuru shari kulingana na shari la shauri lenyewqe lilivyo. msikatae jamani huo ndio ukweli.  
  Reply by: Anonymous , Date: 2012-08-03 14:38:41 [Report Abuse]    
     
  Mimi ni mwanaume, nina dada yangu mtoto wa mama yangu mdogo.Huyu dada aliolewa na baada ya kukaa miaka mitano wakisaka mtoto bila mafanikio, ndoa yao ilikuwa na vurugu nyingi kutoka kwa mumewe na ndugu wa upande wa mumewe wakimsema kuwa hjazai,wakati kumbe tatizo lilikuwa kwa mumewe alikuwa na mbegu changa ambazo haziwezi kurutubisha yai la mwanamke,lakini kila mara alikataa kwenda kupima akabaki kumlaumu dada yangu. Dada yangu alikaa chini akafikiri akaona si huyu jamaa na ndugu zake wanataka mtoto basi, akapata safari ya kikazi kwa mwezi mzima ya research mkoa fulani.Huko akakutana na jamaa wa kikenya naye alikuwa anakaa hapo hotelini, dada yangu akamtegeshea siku ambazo ni hatari kukamata uja uzito.Na akaubeba. Siku zikaenda mume wake anamtia kwa kwenda mbele na ghafla dada yangu kamwambia sasa baba nijisikia kukamata mimba, jamaa kashtuka na kupanda furaha, na kuwaambia nduguze miezi minne tayari tumbo mbele.Alichokuwa anasema kwa watu ni kujisifu kuwa mke wake kumbe huwa anachelewa sana kushika mimba nanihii yake iko mbali. Ndugu zangu unajua kilichotokea, ni kumuomba msamaha mke wake na ndugu zake wote wakakiri kumkosea, na sasa wana mtoto mmoja wa kiume ana miaka 4. Na ndoa iko imara furaha tele. Unajua waswahili wanasema dawa ya moto ni moto wala si baridi. kwenda nje ya ndoa ni jambo zuri kabisaaa, lakini panapowezekana kuwa linaweza kuleta utulivu, furaha na amani huna haja ya kuukimbia lazima uuvulie nguo ili unusuru jambo lililo kubwa na la maana kama ndoa hivi.  
  Reply by: Anonymous , Date: 2012-08-03 14:57:46 [Report Abuse]    
     
  Nasahihisha hapo juu nasema kwenda nje ya "ndoa si jambo zuri kabisaaa" ndio ilikuwa maana yangu..  
  Reply by: Anonymous , Date: 2012-08-03 15:09:05 [Report Abuse]    
     
  Nakumbuka kisa kimoja kilitokea pale slipway hotel, ambapo jamaa mmoja boss alikuwa anakwenda na kimwana fulani kila break ya mchana na siku nyingine jioni. Kuna mama mmoja alimtonya mkewe, na kwa jinsi mkewe alivyokuwa anamwamini mumewe hakuamini kabisa alibisha. siku zikaenda sana. Siku moja rafiki yake wa karibu huyo mama akaenda akamwambia kuwa amemuona mumewe mara kadhaa akiwa na huyo mlimbwenda, akabisha.Yule mama akamwambia ukitaka kuhakikisha siku fulani mchana saa sita hivi jitume hapo kaa kona fulani utajionea mambo. Kweli yule mama (mke wa mtuhumiwa) akajitosa hapo kabana kona fulani akiwa na mwanaume ambaye hakuwa mpenzi ila alikuwa tu amekutana naye hapo wakakaa meza moja wakitia stori.Kufumba na kufumbua jamaa kaibukia hapo ndani na kimwana wake bila kukengeza nani na nani yupo hapo. Mkewe akiwaangalia na kujihakikishia skendo.Ghafla mkewe akamwita mumewe Baba ... upo hapo?? du ilikuwa kama mashambulizi ya afghanistani kuhamaki naye mkewe kakaa na mwanaume ingawa kiukweli hakuwa mpenzi,Unajua hakuna aliyeleta shari bali shari kusharika kimyakimya.Na yule mama akaondoka zake kurudi home.Jioni aliporejea (baba) alianguka kifudifudi kwa mkewe akisema mama tusameheane,ikawa kumwambia nimekusamehe na nilijua unafanya hivyo kila mara nikitegemea utajitambua lakini umezidi kuniumiza nikaamua na mimi kukuonyesha kuwa wako wanaonikimbilia.Hadi sasa adhabu, uaminifu, amani ni nguzo ndani ya ndoa hiyo.Jamani jambo lolote linapofanyika kinyume na matarajio ni baya,lakini mengine yanaweza kufanyika kwa ajili ya kurekebisha hali ya tabia fulani na kuleta muafaka mzuri. Ukitaka upone ugonjwa wa uvimbe lazima ufanyiwe upasuaji, na upasuaji ni kukuukata mwili,kitu ambacho kihalisia hakiruhusiwi kukata mwili ukata maumivu.Lakini unafanyiwa upasuaji ili uponenyeshe ugonjwa unaoweza kukupelekea kifo. Wachangiaji mumenipata?  
  Reply by: Anonymous , Date: 2012-08-03 15:15:15 [Report Abuse]    
     
  Alli, niwie radhi lakini mimi bado niko na wewe, na wengine wote wanaounga hoja ya kwamba maadili yafuatwe. Tuelimishane hapa. Tunataka kujifunza kutoka kwenu. Kuna mahali umesema kwamba kama mwanandoa amechoka na haridhiki na mwenzake aondoke!, kweli???!!! Sitaki kuamini kwamba unaamini hivyo! Aende wapi????!!! Huo muda wa kupoteza uko wapi??!Ndio maadili na vitabu vya Mungu vinavyosema hivyo, kwamba mwache mwenzako ukiona mambo hayaendi????! C'mon Alli! Usiogope kivuli chako mwenyewe. Mungu awabariki sana na hongereni kwamba kwenu (Labda) mambo yako salama. (Kama kweli yako salama), maana inaweza ikawepo dhana kwamba yapo salama, lakini si salama kama mnavyodhani. Kuna watu wametoa ushuhuda kwamba cheating imeokoa ndoa zao, nyie hamtaki!!, na mnasema ni ushetani, sawa, sasa badala ya kuendelea kuchambua kwamba ni cheating ni freemasons (Huu ni mjadala mwingine), udhalimu, ushetani, unafiki, n,k TOENI UFUMBUZI MBADALA, kulalama na kulaani jambo bila kutoa ufumbuzi mbadala basi na mimi nitasema huo ni udhalimu. Kwa mtazamo wenu kinachosababisha cheating ni ushetani, let's say ni sawa, Hebu tusaidie mwanandoa aliyekaa muda mrefu ndani ya ndoa (Mfano miaka sita hadi kumi) mwenye afya njema kabisa na viungo vyake vyote vinafanya kazi bila wasiwasi, lakini hapati haki na haja zake za msingi za Ki- ndoa na mwenzake imedhibitika kwamba hawezi kumtimizia hizo haja, afanyeje???!!! Ni nini kinachosababisha cheating na watu wafanyeje ili waepukane na hali hiyo?!! Nawasilisha, Malaika  
  Reply by: Anonymous , Date: 2012-08-04 01:45:38 [Report Abuse]    
     
  Naomba nikujibu Malaika na wengine pia. Kwa mujibu wa dini ya kiislamu, ndani ya miezi sita ni lazima mke aingiliwe kimwili na mumewe japo mara moja hicho ndio kiwango cha chini kabisa, mume usipofanya hivyo ni dhulma kwa mkeo! Pia kama mke hawezi kuhimili nguvu alizonazo mume, ni ruksa mume kuoa mke wa pili! Sio cheating, ni kuoa tu. Mke ambaye hatimiziwi mahitaji yake ya kimwili ni ruksa kuomba taraka, na ni haki yake kupewa taraka. Adhabu ya cheating na uongo ziko tofauti ktk uislamu. Kwa mujibu wa dini ya kiislamu, Aliyeoa au kuolewa akifanya cheating adhabu yake ni kupigwa mawe hadi kufa ili mradi ushahidi unajitosheleza. Dini ya kiislamu ina sheria wazi na imetoa mbadala wa kila jambo, ndio maana imeruhusu taraka ili kuondoa mianya ya cheating. Taraka bila sababu maalumu na ya msingi ni dhambi. Pia naomba nieleweke, ktk maelezo yangu sijasema mm ni msafi na sina makosa. Mm ni mwanadamu, nakiri nina madhaifu. Tambua kuwa hakuna atakayeenda peponi kwa masafi yake bali tutaenda peponi kwa neema ya Mungu, Yeye ndiye ajuaye ni kwa kiasi gani ninastahili pepo kwa kadri alivyojipendekeza kwake. Ndio maana akafungua milango ya toba ili kila anayejitambua kuwa amemkosea na hataki tena madhambi atubu. So hata mm huwa nakosea. Ila kumbuka kushabikia dhambi, kuifurahia na kuhamasisha kwa namna yoyote ile ili watu waitende na waikubali kwa mikono miwili kuwa ni kitu cha kawaida ni kazi ya shetani, so ukijiona unafanya kazi hiyo jua wazi kuwa shetani yu ndani yako na ameufanya mwili wako kuwa makao yake kwakuwa umemkaribisha!, simuhukumu mtu bali nanena ukweli na mtu ajihukumu mwenyewe kwa yale ayafanyayo. Kumbuka, kauli yako moja inaweza ikawa na impact ya kupotosha umma kwa zaidi ya miaka 50 ijayo, ths is a writen document, watu wataendelea kuipitia as long as ipo mtandaoni hata kama ww utakuwa ni marehemu kwa wakati huo. Tupime tunachokishabikia na tutambue impact ya kauli zetu. Watu wengine hupenda kufanya jambo kwasababu tu wamepata kampani au wameona mahali au wamesikia fulani naye kafanya. Mfn. Watu wengi walienda kupata kikombe loliondo si kwasababu wanaumwa au wanamwamini sana mwasapila ila tu kwakuwa Askofu Thomas Laiser na Magufuli walibariki kwa namna moja ama nyengine! So, tuwe makini. Nadhani nimekujibu dadaangu Malaika, ukiona hutimiziwi haja zako, omba taraka, kuomba taraka ni bora kwako kuliko usaliti. Kuna mambo mengine tuwe wavumilivu tu jamani, mfano, tatizo la wanaume kupoteza nguvu za kiume limekuwa la kidunia kutokana na mfumo wa maisha. Vyakula tunavyokula vyote ni junk! Vimejaa kemikali, pia Tunalala chn ya chandarua chenye dawa, vyote hvi vimechangia kuharibu mfumo wa utendaji kazi wa mwili. So ukiona unapewa mara moja kwa wiki basi ridhika tuu. Na wanaume pia tuwe wavumiliv kwa wake zetu, madawa mengi ya uzaz wa mpango nk yamewaondolea hamu ya faragha, ukipewa mara moja kwa wiki na unajua sababu ya kupewa mara moja basi ridhka. Kikubwa tusiwe wasiri kwa wenzi wetu kuhusu miili yetu na mabadiliko ya mihemko, tuelezane vile tunajisikia ktk miili yetu. Hizo ni changamoto za kimaisha, cheting sio suluhisho. Kumbukeni ukweli utakuweka huru daima. Nawasilisha Alli  
  Reply by: Anonymous , Date: 2012-08-04 03:02:52 [Report Abuse]    
     
  Malaika, kumbe tunaongea na Muislamu Alli, ndio maana hatuwezi kufika mahala tukayaona tunayoyaona kwa sababu ya mitazamo tofauti ya sheria za kidini ambazo kwa ujumla zote hazikubaliani na cheating,lakini pia zinatofautiana na kuacha mke au kuoa mke wa pili na hapo ndipo penye mzingi wa hoja yetu eti uoe mke wa pili na yeye akiwa na kasoro utaoa wangapi? Malaika na Ndera tuachane na huyo Alli asijetupotezea muda bure, kwani ukweli umebainika na watu wameshuhudia yaliyojiri katika ndoa zao yanini kulumbana na Alli ambaye amesimama katika uislamu wa kuoa wake wengi ili kujibinafasi?  
  Reply by: Anonymous , Date: 2012-08-04 11:02:31 [Report Abuse]    
     
  Nimekupenda mnoooooooooooooooooooooooooooo Alli yan ungekuwepo karibu ningekuhug kidogo!! Umeongea ukweli mtupu!!! Zama za mafreemason zimefika na me ndio nlisema pia juu yako hapo. Mwenye maskio na askie mwenye macho na aone kabla ya kilio kikuu cha kusaga meno siku ilyoandikwa ikifika! Nawaonea huruma sana ndesa na malaika! Hakuna dhambi mbaya kama kufanya jambo ovu halafu mnataka muwaharibu na wenzenu yan hamna tofauti na LUCIFER! Mshindwe na mlegee!!  
  Reply by: Anonymous , Date: 2012-08-04 11:58:10 [Report Abuse]    
     
  Ngoja nimalizie, Wewe mama uliyeiba ruti sali sana mume wako asipite muhimbili kumfanyia DNA test mtoto!!! Ndio utajua utamu wa cheating! Tena kaa kimya ushafanya ubaradhuli wako funga mdomo acha ushabiki utakutokea puani ohooooooooo! Unajiona mjanjaaaaa subiri vikulipukie watu wameelimika sku izi shauri yako!  
  Reply by: Anonymous , Date: 2012-08-04 12:34:24 [Report Abuse]    
     
  Wewe ni nani hata uwahukumie wengine hukumu kama hiyo unayosema kilio kikuu na kusaga meno? Halafu hiyo mnayoitaja Freemason hamuijui inafanya nini zaidi ya kusikia tu kwenye mitandao kwa upotoshaji.Kilio kiko kwa mambo mengi, na si ajabu utatangulia kulia na kusaga meno wewe.Mbaya zaidi hamjaelewa maada yenyewe inalenga kusema na kumaanisha nini hasa zaidi ya kuchukua mambo juujuu tu.Hakuna mchangiaji humu amabaye ameunga mkono moja kwa moja kutoka nje ya ndo kama ni kitu chema,lakini hata hivyo kumetolewa ushuhuda ambao umekuwa na maana kwa upande fulani.Nakushangaa kuwa unataka wote tufuate taratibu za kiislamu? Kumpa mtu talaka ndio unaona njia halali? Acheni ushabiki usio na maana. Hiyo DNA itapimwa kwa misingi ipi wakati mwanaume amekiri kufurahia mtoto?hata ikipimwa unadhani itakuwa na madhara gani zaidi ya uliosema wewe mwenyewe kuwa umpe talaka mkeo kama hawezi mambo?Upinge usipinge cheating inashika kasi na inaokoa ndoa za watu wengine na wakati huohuo inapoteza ndoa za watu wengine.Muhimu ni kuelewa mazingira ya tatizo na njia ya kutatulia.  
  Reply by: Anonymous , Date: 2012-08-05 15:54:14 [Report Abuse]    
     
  Mimi nilichogundua hapa kuna mtu anajibadilisha na kuchangia hoja na kujijibu mwenyewe hapa, mara Malaika mara Angle mara hana jina, hana jipya ila kutetea uchafu wake unaompa furaha na kujiona jasiri na mshindi katika points zake, wewe kama ilikufaa ni wewe mwenye shingo ngumu na kuweza kuficha machafu yako, usilazimishe na wengine kufata taratibu na tabia ya kwenye familia yako. Eti kuiokoa na kuimarisha ndoa, hakuna uimara zaidi ya wasiwasi na kutegeshana na mwisho wa yote mtaishia kugaiana VVU tuondoleeni ubaradhuli wenu hapa.  
  Reply by: Anonymous , Date: 2012-08-06 00:58:32 [Report Abuse]    
     
  Malaika na wengine mliounga mkono hii mada big up sana mmenena vizr, unajua hapa watu tunashindwa kuelewana aisee tumesema inategemeana na mazingira husika na si wote kwamba mnalazimishwa kucheat la hasha we kwako kama kupo poa na ndoa iko shwari piga magoti kila siku mshukuru Mungu kwa hilo lakn kuna watu furaha haiwezi kupatikana ndani kamwe ki ukweli hawaelewani sasa ishu ya unyumba mwanaume hakupi hata ukienda huko kwenye baraza au mahakamani ndo utapata huo unyumba?au utafute wanawake wenzio waanze kukusaga?sasa ili kuepusha yote hayo ndo maana mtu unaenda kimya kimya kwa mtu wako anakusaidia then unarudi kwa mmeo na heshima zote na wala hatagundua coz ukicheki mna watoto mambo ya kuanza kutengana sio ishu wala nini mnawasumbua watoto , hapo nazungumzia upande wa wakristo ndoa ni moja tu hakuna kuachana wala talaka maana unakuta janaume bishi hata ukienda huko kanisani haji wala hataki usuluhishi sasa swala liko hv ukiachana nae kienyeji ukiwa na mtu mwingine unakuwa unazini, hata ukiolewa tena unakuwa unazini kitu kinakuwa kilekile sawasawa tu kucheat kuzini ni kule kule, hata kwa upande wa wanaume ni hivyo hivyo wanakutana na wanawake wengine fyatu hawana hata pa kupata mapenzi kwahiyo wapige punyeto?na ndoa mtu anaitaka hataki kuachana na mke wake sababu ya watoto inabidi atafute cha pembeni ili ndoa isonge, hapo nimeongelea unyumba coz ndio chanzo kikubwa cha watu kucheat achilia vingine ambavyo mara nyingi husababishwa na tamaa zao, lakini ndoa kama ndoa inabebwa na tendo la ndoa na Mungu aliharalisha hilo kwa wanandoa sasa mtu kushindwa hayo yote ina maana mapenzi hamna, lkn watu wanaweza kucheat kila mtu kwa wakt wake na hapo badae wakaja wakakaa sawa kabisa hadi kila mtua akaacha kabisa kucheat na waka reconcile then maisha yanazidi kusonga na watoto wanazidi kuwa na furaha ya kukaaa na baba na mama  
  Reply by: BQ, Date: 2012-08-06 02:00:42 [Report Abuse]    
     
  Mdau wa hapo juu umenena vema kabisaaaaa ila watu ni wabishi wakati ukweli upo bayana kabisaaaa.Nashangaa kwamba huyo muislamu anashupalia talaka kama ndio bora na kutelekeza watoto. Kila mtu ashike lake hapa na hakuna anayemshawishi mwingine afanye vile mtu mwingine anafanya, bali hapa tunaoa hoja na uzoefu tulioupata na mafanikio yake.Na uzuri kila mchangiaji hapa hajakubaliana na cheating kama kitu chema,ila watu wameeleza sana mazingira ya matatizo na kurithisha na na njia mbadala walizotumia na wakafanikiwa kunyoosha mambo yao.Na hata hivyo watu hawajaelekeza kwa watu kuwa wafanyafe hivyo,muhimu ni kila mtu aelewe yuko kwenye anga gani ya tatizo la kindoa/kimapenzi na ni njia ipi muafaka kutatua shida yake. Chondechonde jembe na mpini vitakufanya ulime vizuri.  
  Reply by: Anonymous , Date: 2012-08-06 10:23:18 [Report Abuse]    
     
  muhimu tujue kuwa kila mtu huenda kutibiwa ugonjwa wake kwa tiba anayoiamini.Kuna wengine lazima waende India kufuatia uwezo wao, wengine hawataki kusikia tiba yoyote zaidi ya maombi, wengine wanapenda kutibiwa kwa miti shamba, na wengine kwa wataalamu wente majina makubwa,na wengine hubaki wakijiganga wenyewe, nk. Kwa hiyo jambo la kutatua tatizo la mtu ukweli anao mwenyewe na anajua ukubwa wa eneo la tatizo na kina chake na hivyo kujua hata namna ya kulitafutia ufumvuzi.Naungana na wote waliosema na kushuhudia kuwa cheating inasaidia kurejesha mawasiliano katika ndoa kulingana na tatizo na mazingira ya tatizo kwa mtu mwenyewe.Wengi wametoa ushuhuda wa kina jinsi walivyopitia hatua hiyo na jinsi ilivyowasaidia. Ni sawa na mgonjwa ambaye am,ekwenda kwa waganga wote na kutumia njia zote bila kupona na mwisho anasimuliwa na mtu aliyetumia njia fulani kwa kutibu ugonjwa uleule na akaweza kufanikiwa. Na kwa nini huyu aliyeshiondwa njia zote asitumie njia ya huyu ajaribu nayo aone inawea kumsaidiaje? Kila mtu hujikuna mkono unapofikia.Kiukweli kabisaaaaaaa kutoka nje ya ndoa ni vibaya, lakini kama ni dawa ya kuponya ugonjwa sugu na ukijua una huo ugonjwa lazima utatumia dawa hiyo ili upone. Kudanganya ni kubaya sana, lakini kama uko kwenye hatari ya kuuawa na kupigwa mawe na ukipewa nafasi ya kujitetea lazima udanganye maana ukisema ukweli utapigwa mawe na kuawa.Ukiwa kwenye vita kupigana kijeshi, ukikamatwa na adui huruhusiwi kueleza ukweli wa wenzako wako wapi,inabidi udanganye na ufe peke yako kuliko ukaangamiza wengine waliovitani. Kuna vitu vibaya vinaweza kutumika mahali pa mazingira fulani yaliyo hatarishi ili uokoe maafa makubwa. Kama umemwelewa vizuri Ndera shida aliokuwa nayo na jinsi alivyopata tiba yake nadhani utakoma ubishi. Furaha na heshima na kutambuliwa kama naye ni mtu na mwanamke mkamilifu ni jambo muhimu sana.Kinachowaua wengi ni pale unapoingia kwenye mawazo na kujihisi umeshushwa thamani na kila mtu.Lakini ukiona kuna mtu wa maana kakuzimia na kukuweka kwenye kinara unakuwa umepata tiba isiyo na kifani. Kila mtu na abebe mzigo wake mwenyewe.Usije ukabeba wa mwingine usioujua ukubwa wake na kina chake, na wala mazingira yake utaleta mzaha bure pasipohitajika mzaha wakati mwenye kuujua yupo.  
  Reply by: Anonymous , Date: 2012-08-06 16:29:37 [Report Abuse]    
     
  Mimi ni mwanamke, nilimwambia mume wangu kuwa utakapojisikia umenichoka, uniambie ili utakapohitaji mtu mwiongine na mimi nitafute wangu ambaye ananitamani na kuniheshimu.Maneno haya nilimwambia wakati nimebainni anatembea na mwanamke fulani.Kwa sababu alikuwa nafikiri anafanya kwa siri mimi sijui, alishtuka sana nilipomwambia maneno hayo na niliona ananywea kabisaaaaa. Baada ya siku tatu nilimkumbushia tena hadi akaniambia naomba UNISAMEHE najua nimekukosea.Nikamwambia nimejua mambo yote na na mimi nilikuwa katika hatua za kuchukuliwa na mwanaume anayenipenda na kunijali.Nakwambia alikunywa glasi za maji bila kuhesabika kwa kiu alioipata nilipomvalia njuga kwamba nami nimo napata wa kwangu maana unadhani nimechakaa wakati watu wakiniona huko njiani wanaacha hata njia kuniangalia wakinipigia ramli wanipate lini. Ndugu zangu donda sugu lisuguliwe na na makali yenyewe. Usiende kwa waganga wa kienyeji kuaguia wakati mleta ugonjwa yupo hapo nawe.Mchukulie nawe wako kukiwa kweupeeeeeeee halafu uone kama kweli ana ujasiri wa kuendelea huko nje. Nawasilisha, Njelanjela.  
  Reply by: Anonymous , Date: 2012-08-06 16:44:58 [Report Abuse]    
     
  Exodus 20:14 You shall not commit adultery. Leviticus 18:20 Do not have sexual relations with your neighbor's wife and defile yourself with her. Proverbs 5:3-9 For the lips of an adulteress drip honey, and her speech is smoother than oil; but in the end she is bitter as gall, sharp as a double-edged sword. Her feet go down to death; her steps lead straight to the grave. She gives no thought to the way of life; her paths are crooked, but she knows it not. Proverbs 5:19-20 Why be captivated, my son, by an adulteress? Why embrace the bosom of another man's wife? For a man's ways are in full view of the LORD, and he examines all his paths. The evil deeds of a wicked man ensnare him; the cords of his sin hold him fast. Proverbs 5:27-29 Can a man scoop fire into his lap without his clothes being burned? Can a man walk on hot coals without his feet being scorched? So is he who sleeps with another man's wife; no one who touches her will go unpunished. Proverbs 5:32 But a man who commits adultery lacks judgment; whoever does so destroys himself. Matthew 5:27, 28, 32 You have heard that it was said, 'Do not commit adultery.' But I tell you that anyone who looks at a woman lustfully has already committed adultery with her in his heart. But I tell you that anyone who divorces his wife, except for marital unfaithfulness, causes her to become an adulteress, and anyone who marries the divorced woman commits adultery. John 8:4-11 [They] said to Jesus, "Teacher, this woman was caught in the act of adultery. In the Law Moses commanded us to stone such women. Now what do you say?" They were using this question as a trap, in order to have a basis for accusing him. But Jesus bent down and started to write on the ground with his finger. When they kept on questioning him, he straightened up and said to them, "If any one of you is without sin, let him be the first to throw a stone at her." Again he stooped down and wrote on the ground. At this, those who heard began to go away one at a time, the older ones first, until only Jesus was left, with the woman still standing there. Jesus straightened up and asked her, "Woman, where are they? Has no one condemned you?" "No one, sir," she said. "Then neither do I condemn you," Jesus declared. "Go now and leave your life of sin." Hebrews 13:4 Marriage should be honored by all, and the marriage bed kept pure, for God will judge the adulterer and all the sexually immoral.  
  Reply by: Anonymous , Date: 2012-08-07 12:51:13 [Report Abuse]    
     
  Nakumbuka Ibrahim alipokimbilia nchi fulani kama mkimbizi alidanganya kuwa sara mkewe ni dada yake. Alifanya vile kwa kuhisi kuwa kwa kuwa mkewe alikuwa mzuri sana basi huenda mfalme akamuua ibrahim ili ajichukulie kifaa (sara). Kweli mfalme alipomuona sara mimacho ikamtoka na ibrahim akasisitiza kuwa sara ni dada yake. Mfalme akaazimia kujitwalia sara. Kabla hajatimiza azma yake akapata maono kuwa sara alikuwa mke wa mtu wa mungu ibrahim. Kesho yake yule mfalme akamwita ibrahim akamuuliza kwa nini ulitaka kunikosanisha na mungu wangu? ibrahim akajieleza na mfalme akampa mali na sehemu ya kuishi kwa raha mstrahe ili atoke mbele yake asije akamletea balaa!! MTU WA MUNGU ALIDANGANYA AU HAKUDANGANYA? NIA YA KUDANGANYA ILIKUWA NZURI LAKINI UONGO UNAHALALIKA? ASINGEDANGANYA SI ANGEKUFA? BORA KUFA SHUJAA? ILI IWEJE? MBONA ALIFANIKIWA KULIKO HATA ALIVYOTARAJIA? too philosophical??? Je tunakumbuka story ya yusufu ya kumbambika mdogo wake kikombe kwenye gunia lake? Nia yake ilikuwa nzuri, njia ovu lakini mwishowe alikutana na familia yake na wakaishi raha mstarehe na mzee yakobo akafa kwa amani baada ya kumuona mwanae kipenzi yusufu. Sihalalishi uovu ila nataka tujifikirishe tusitoe majibu rahisi kwa maswali magumu ma majibu magumu kwa maswali rahisi. Noa ubongo!!! NDERA  
  Reply by: Anonymous , Date: 2012-08-07 15:27:43 [Report Abuse]    
     
  Unajua Imani ni kitu muhimu sana hii tabia ya sikuhizi iliyo halalishwa ya mwanandoa kutoa nje ya ndoa ni tabia za watu walioshindikana na wengine wanasababu zao za kimsingi ndiyo waliojengea hoja ya kuitetea hii cheating.... ndoa za sikuhizi zimekosa imani na mbaya zaidi hata kama ya kwako iko salama na ukawa na ndugu au rafiki mwenye matatizo na ndoa yake kisha ukawa naye karibu sana anaweza naye akakupa imani potofu na ndicho kilichokuwepo sasa hivi kuna watu hawana matatizo kabisa na ndoa zao ila wanayaleta wenyewe tu kwakuwa fulani amemuelezea matatizo ya ndoa yake yalipoanzia na kuishia basi ataanza kuyabeba na kuanza kufikiria (mental picture of) ... ataanza na yeye kama hana nyumba ndogo ataanza kutafuta kama hana bonge la bwana mjini ataanza kuwa naye ukiuliza anaweka akiba ...mwingine atakujibu anabadili mikao yaani imekuwa kama sasa fashion kusema ndoa zoote zinamatatizo kuwa hata kama mtu hana matatizo atajitafutia mwenyewe bila ya kujua na kujiingiza kwenye imani potofu matokeo yake hata mwenza wako unakosa kuwa na imani naye asikuambie mtu ndoa au mahusiano ni wewe mwenyewe na huyo mtu wako jinsi mnavyochukuliana na kuelewana huwezi jua matatizo ya mtu kwenye ndoa yake yameanzia vp maana binaadamu tuko tofauti hunasababu ya kubeba matatizo ya ndoa ya mwenzako nawe ukayabebea kwako hakuna kitu kizuri kama kujiamni kwenye ndoa uliyokuwepo au mauhusiano na kuamini kile ulichokichagua na unachotaka lakini kama mtu ulikikurupuka kwenye mauhusiano au kujingiza kwenye ndoa kwa sababu tu au kwa kuwatu ya kitu fulani ujue kabisa lazima utapata tabu kwenye hali kama hiyo....Kitu muhimu na cha msingi jiamini na usiifananishe ndoa yako na ya mtu mwingine.  
  Reply by: Anonymous , Date: 2012-08-08 03:55:17 [Report Abuse]    
     
  Ndera, nimekupenda sana kwa maelezo yako na reference ya kuua mtu ulioitoa kwa hao watu imani katika biblia. Kuna mmoja pale juu amenukuu vifungu vingi lakini hajui mazingira ya vifungu hivyo vina maelezo gani ya kina.Amebaki amekariri tu.Bomu likimpiga anaanguka kabisa. Uzuri wake katika shauri hili watu hawasomi na wakaelewa kila watoa comments wanasemea hapa kwamba hakuna mchangiaji aliyehalalisha mtu kutoka nje ya ndoa yake.Wote tumekubali kuwa si jambo jema kabisaaa, lakini tumebainisha mazingira halisia fulani ambayo yanaweza kukulazimu utumie njia fulani ili kuleta usalama na amani katika tatizo linalokusumbua.Mifano mingi imetolewa humu na ushuhuda mbalimbali ulio live. Na hata Hapo juu Ndera ametolea mifano ya akina Ibarahimu,yusufu,yakobo and it goes on! why? kwa sababu kulikuwa na mazingira ya hatari ilikuwa lazima kutafuta njia ya kunuru japo haikuwa njia halali(Ukweli) lakini iliwasaidia kujisalimisha.Pamoja na hayo bado suala hili linategemea sana mtu na mazingira ya tatizo lake. Kuna dada mmoja alikuwa na rafiki yake wa kiume.Hawa marafiki walikubaliana wasifanye tendo la ndoa kabla ya kuoana. katika mazingira ya kuzoeana na kuwa mahali pa faragha mara kwa mara, huyu mwanaume alishawishika kumuomba huyu msichana wafanye mapenzi.Yule msichana alimwambia huyu rafiki yake kwa kumdanganya kuwa yuko kwenye hedhi hivyo haiwezekani kufanya kitu hicho.Alitumia uongo kujiokoa na taflani ya kufanya mapenzi kabla ya ndoa, na kwa kuvunja makubaliano yao.Kutoka wakati huo huyu msichana alikuwa makini kumkwepa huyu rafiki yake kukutana naye sehemu au mahali palipo kuwa si salama kwake. Na mwisho alikuja kugundua kuwa kumbe anatembea na msichana mwingine huko nje. Hebu fikiria kama asingetmia uongo wa kuwa kwenye hedhi angekuwa alishamegwa na kumbe huyo jamaa anakula pawili.Kutoka muda huo alipobaini alikuwa na mpenzi mwingine wakaachana.  
  Reply by: Anonymous , Date: 2012-08-08 10:01:39 [Report Abuse]    
     
  Jamani mbona mnarudi nyuma MNAVUNJA MAAGANO mlioagana na mungu wenu wakati wa ubatizo na Shahada ?, si mlisema mnamkataa shetani na kumfuata mungu? kweli mtaangamia maana mshahara wa dhambi siku zote ni mauti. Nimechoka kabisa niliposoma hapo juu kuwa mawazo ya kidini ni mtazamo finyu na uvivu wa kufikiri mpaka nikajiuliza tunaongea na wapagani hapa? baadae mara nikaja kusoma kumbe na maandiko ya Mungu na mababu wa imani mnayakumbuka na kutolea mifano hapa, lakini mifano ile yale waliyafanya ili kujinusuru au kuleta amani na suluhu, si katika uchafu, na mungu alikuwa upande wao maana aliwabariki hapo hapo, sasa tukumbuke kuna mababu wa imani waliokengeuka na kupewa adhabu katika kujisahau au kukosea kwao mfano mfalme Daudi alimlilia sana mungu juu ya dhambi yake lakini mungu hakuruhusu yule mtoto wa uzinifu aishi maana hakutaka fundisho hilo liendelee, Eli na wanawe walinyang'anywa ukuhani na kupewa Samweli baada ya kuonekana matendo yake yameshuka, Belshaza pia aliona mkono wa ajabu ukimwandikia ukutani na watu wa sodoma waliteketezwa na moto wote na wengi waliopewa makaripio na adhabu juu ya kukengeuka na kufuata taratibu zao. Ninachotaka tukumbuke ni kuwa TUSIFARIJIANE maana Mungu hadanganyiki wala hadhihakiwi, Pia tukumbuke kuwa neno la mungu litasimama na kujisimamia lenyewe milele, na linafaa kwa mafundisho na kufariji na kumrejeza mtu katika mstari, maana imeandwikwa wanzinzi waongo dhulumati na wachawi, wenye kujipenda wenyewe wabinafsi nk. Pia imeandikwa wasipomsifu mungu wanaadamu Miti na mawe yatapiga kelele kwa kuvuma na kumtukuza mungu na kuonyesha uwepo wake . Tukumbuke kuwa mshahara wa dhambi siku zote ni mauti. nawasilisha na kukung'uta mavumbi ya viatu vyangu hapa.Mnisamehe wale wasiofurahishwa na niliyoongea lakini nimejisikia lazima niliseme lile linaloniwaka kifuani mwangu. Salua  
  Reply by: Anonymous , Date: 2012-08-09 01:23:33 [Report Abuse]    
     
  heeee hv huu mjadala hauishi jamani?maana naona tunazidi tu kupewa vifungu na vifungu nyie mtasema vifungu vyote vya biblia na nasaha kutoka dini zote ila mi nawaambia kuwa kwenye mambo ya ndoa na mapenzi dawa ya moto ni moto yaani mpaka mtu upone moyo uliojeruhiwa sio kazi rahisi nawaambia otherwise mtu hayajakukuta, kama unafata haki ndo ki uhakika huponi moyo ngooooooo nakwambia mpaka na wewe upate mtu akaubalalue hapo unajisikia sana amani moyoni na mkumbuke amani ya moyoni ndo inaleta ndoa na mapenzi bila amani moyoni hata nyumba haikaliki ,unaishi nyumbani kwko kwa amani kutoka nyumba ndogo na maisha yanaenda mpka hapo muujiza utakapotendeka then wote mnarudi kundini na roho moja  
  Reply by: BQ, Date: 2012-08-09 03:50:29 [Report Abuse]    
     
  LooH! watanzania kweli kiboko yaani siamini kama kuna watu wanatetea hiki kitu cha kucheat poleni mweh! na ndiyo maana sikuhzi ndoa hazidumu maradhi kila kona uzinzi umewekwa mbele sana ... kwa mtindo huu maradhi hayatakaa kuisha ng'oooo.  
  Reply by: Anonymous , Date: 2012-08-09 08:15:54 [Report Abuse]    
     
  Duu hii topic ni kali na ya mwaka nimesoma sijui comments 42 zote na i can say kwa vijana wanaoingia kwenye ndoa wakisoma hizi comments sijui kama ndoa zao zitadumu i tell you take it leave it but this is upotofu. Malaika, Ndera and the rest of supporters wa benefits za cheating mbona hamjaelezea the flip side of cheating? maana wote mmenarrate benefits za cheating haya shusheni darasa la dis advantages of cheating and also elezeeni the go abouts to become successifull cheater. i tell you tukianza kuongea the flip side za kucheat hiyo ndoa kama now mnaona ni chungu basi i think hamjaujua uchungu wake until mtakapopata magonjwa kama VVU na the likes mtasema mnatumia condoms hebu someni ni kwa asilimia ngapi condoms zina prevent maambukizi ya Ukimwi? na storage yake ni maduka mangapi yanafuata viwango vya storage? na ni watu wangapi wanatumia successfully condom kwenye uvaaji wake? na hwat about maambukizi kwa njia nyingine za mwili kama ya midomo ( im talking yote wa chini na juu) on kissing and licking? ni wangapi wanajilinda successiful? turudi kwenye swala hata your partner ( cheater ) aliyekuumiza can letea you ukimwi ya but how do you prevent from happening kama divorce is not your option? its by communication and improving your sex life and also kuanalyse nini kimebadilika tangu muoane na kipindi mlikuwa na mapenzi motomoto? and what can you do to spicy up your marriage life particulary sex life? i tell you cheating is not an option. kwa haraka haraka, one of the disadvantages za kucheat kuna watu wametoka nje ya ndoa zao wamepata mapenzi motomoto badala ya kujenga ndoa wamejikuta wanabomoa zaidi kwa kuleweshwa na mapenzi ya nje heshina ndani ya ndoa kutoweka. its only i call them magubegube that they can cheat successfully bila kuaffect marriage but i tell you guilty concious is a karma bwana mkatae mkubali unless mapenzi ndani ya ndoa kwishney na iliyobaki ni mazoea.all in all usitibu malaria kwa kumeza panadol hiyo dawa inapunguza maumivu tu but haitibu tatizo. so kwa waliosema dawa ya moto ni moto hebu changanya moto mbili uome jinsi unavyolipuka so tunarudi kukubaliana kwamba dawa ya moto ni maji.PRINCESS  
  Reply by: Anonymous , Date: 2012-08-09 08:28:47 [Report Abuse]    
     
  hata mquaote mistari ya biblia kiasi gani hamuwezi kutuhalalishia ucghafu wenu tu hapa. Tumeshagundua tunadeal na mapunguani ndo maana tumewapotezea. cheatini weeeeeee mkitaka hata na ng'ombe waondoe hizo nyege mshindo zenu madhara yake/adhabu yake juu yenu na watoto wenu!!! ILA MSITULAZIMISHE TUKUBALI UCHAFU WENU!  
  Reply by: Anonymous , Date: 2012-08-09 08:31:15 [Report Abuse]    
     
  PRINCESS yaani umeniacha hoi, mi nawambia hii kitu ni ngumu sana kuielewa kama haijakukuta na hauijui for sure am telling u many pipo get healed after doing the vise versa but hy habari ya kubomoa na kujisahau its another thing,mi huwa kila siku nawaambia watu matatizo kwenye ndoa yapo mengi na hata hizo cheating ziko za namna mbali mbali kwahiyo kuna kila namna ya kubeba hayo matatizo maana hata hukokusali watu wote wanasali na kuomba lakini moyo kila siku unakonda hadi watu wanalzwa kwa pressure na vidonda vya tumbo, ki ukweli kama hujawahi kusalitiwa au kuonyeshwa bad side na mme /mke wako hakika hautakaa uelewe hii ishu anaeilelewa ni yule aliyetendwa na alipofanya hivyo ndani ya moyo wako anapata relief.so lets pray together kuna watu wantendewa hayo sometym kwa kurogwa anabadilika kabisa hata hakuelewi hata kama utasema ucheki area zako zote kama ziko sawa huoni tatizo, utawashirikisha watu wote viongozi wa dini,wazazi na kila ain aya marafiki. mtafanya vikao mweee hadi upoteze kumbukumbu but mwisho wa siku it doesnt help, ndo maana unaaamua na wewe kujiripua unapata amani ya roho maisha yanaendelea, thats why am saying DAWA YA MOTO NI MOTO  
  Reply by: BQ, Date: 2012-08-09 08:43:55 [Report Abuse]    
     
  Ama kweli, wahenga walisema, "Aisifuye mvua imemnyeshea" La kuvunda halina ubani" mwenye njaa hana mwiko" and it goes on!! Nimewasoma wote wanaotetea na wanaopinga na wale walitoa mifano kutoka vifungu vya Biblia na Kuran. Niliposoma nimeguindua kwamba wapo waathirika, na wapo wasio waathirika.Pia nimegundua kuwa wapo wenye imani kali isiyojali nini kinatokea katika jamii hasa kwa mahusiano,kindoa nk. wapo wale ambao wanaielewa jamii vema na mafadhaiko yake na tufani zake katika masuala ya ndoa na mahusiano. Maada hii ukiiendea pupa utatupa makongombora upande usio na daui unaowalenga na kuua watu wasio na hatia. Ukielewa vizuri maada hii na ukajua vema nini kinajiri katika jamii, na ukazingatia usawa na hitaji la kila mwanadamu katika unyumba, mahusiano na mawasiliano, utakuwa na nafasi nzuri kutupa kombora kwenye uwanja unaositahili. Watoa Comments wanaoliangalia jambo hili kijamii, kimaadili, na kimaandiko wote wameelekeza mawazo yao kuwa kutoka nje ya ndoa si jambo jema na wala halikubaliki na kuhalalishwa, lakini wamebainisha kuwa hayo yanamhusu sana yule alieko kwenye majeruhi, na mazingira anayokabiliana nayo, na tufani anazokabilinana nazo.Huyo hana uchaguzi wa lililo zuri kimaadilia au lililo baya kimaadili,bali yeye huangalia nini kipo mbele yake kinachoweza kumnusuru na simanzi ya moyo alionayo kwa wakati huo, na ndipo wengi wa aina hiyo wameshuhudia uamuzi waliochukua na jinsi ulivyowasaidia. Kwa mtu ambaye hujafikwa na hili jambo, ningekushauri unyamaze kuwakomalia hao maana hujanyeshewa na hiyo mvua ya mawe, pia njaa haikuuma hadi ukatamani ukaibe chakula. Waliotoa vifungu vya Biblia nawapongeza, ndera, princess wamejaribu sana kufanya analysis nzuri mno kwa kujaribu kuangalia upande mwingine wa maandiko hayo. nataka kusema hivi wapo walioabidiwa kwa kufanya makosa kuvunja maadili kama Princess alivyobainisha, na pia wapo waliookoa maisha yao kwa kudanganya kama Ndera alivyobainisha.Hapo hamna kupingana bali kushauriana namna ya kuangalia shillingi pande zote mbili huku ukijua nini hasa unataka kukifanya na kina matokeo gani mbeleni. Mafisadi wote walioko nchini mwetu ndio wanaopewa heshima, vyeo,na kuishi vizuri, wakati wale waadilifu wanaishi kwa shida na kwa manung'uniko kila siku na siku zinaenda huku wakilialia kuwa wananyonywa na hao. Kuishi kwa kunung'unika ni dhambi pia mbele za Mungu. Mjadala huu hakuna aliyesema moja kwa moja kwamba cheating ni jambo zuri kama nimesoma comments zenu vizuri,bali watu wametoa references zao kulingana na hali halisi iliyojiri katika maeneo yao ya matatizo na ikawasaidia na kumalizia kuwa kila mtu anajua mahali alipo hivyo anachukua uamuzi kulingana na ukubwa na uzito wa tatizo lile linalokusibu.ndio maana wengine wanaamua kujinyonga, wengine wanatoroka kwenda mbali, wengine wanaacha ndoa zao wanajitenda, wengine wanamua kutoa talaka, na wengine wanaamua kuingia kwenye ndoa ya jinsia moja, na wengine kama katika nchi za magharibi wanaamua kujifugia mbwa au paka na kufanya kama ndio mume au mke wake.Wote hao wanachokisaka na ile tusenasema "Peace of mind" Nothing else has to do with your decision rather than the so called "Peace of Mind" Hata usome vifungu vyote vya biblia na ukakosa hicho kitu ni bure utaishia unachanganikiwa na vifungu hivyo.Moyop ukitulia utapata nafasi nzuri kucheua mambo hata kama umeupata kwa njia isiyo halali.  
  Reply by: Anonymous , Date: 2012-08-09 09:10:20 [Report Abuse]    
     
  peace of mind ndani ya VVU???? HIZO PEACE OF MIND ZILIKUA ZAMANI ENZI ZA BABU ZETU HATA UKICHOROPOKA NJE KILA SIKU SHWARI SASA HIVI TATUFA HZO PEACE OF MIND KAMA HATUJAKUZIKA MUDA SI MREFU! ACHA KUDANGANYA WATU WEWE!! SKIA KENGELE TULIA NA WA KWAKO?? SI ULIMPENDA MWENYEWE NDO UMVUMILIA KWENYE SHIDA MNATAKA RAHA TUU EEEH KWANI HAPA PEPONI??? HEBU KUENI BWANA!!  
  Reply by: Anonymous , Date: 2012-08-10 07:07:01 [Report Abuse]    
     
  Elewa tunachokiongelea hapa siyo kukurupuka kigizagiza tu. Kwani hivyo VVu vimeanza sasa?Unadhani watu hawafanyi ngono kwa kuogopa hivyo VVU? Hata hivyo hakuna aliyehalalisha wala anayewaita watu waige alichofanya yeye.hapa tunatoa changamoto tu ya yale yanayojiri katika maisha ya watu, kijamii, kisiasa, kisiosolojia, kisakolojia, kiuchumi, kidini, kiitikadi and it goes on. Kila mtu ana akili sidhani kama kuna ushawishi wa aina yoyote zaidi ya ukweli wa yale yaliyojiri na yanayojiri na yatakayojiri kwa huyu na yule.Kila jambo lina uzuri wake na ubaya wake. Unaweza ukawa na VVu na ukawa na amani na furaha kuliko mwenye kuwa na hata afya njema na mali ya kumwaga.Nadhani wewe ni mchanga lielimu,maana tunapoongea juu ya peace of mind unadhani tunaongea juu ya furaha na nafsi na moyo iliyoridhika na usheneheni wa mali. Kila jambo linabebwa na jinsi mtu mwenyewe unavyolichukulia.Wako watu ni maskini lakini wana amani moyoni, na wako watu wana mali nyingi lakini hawana amani wala furaha mioyoni mwao.Na wako watu wameolewa hawana amani wala furaha, na wako watu hawajaolewa lakini wana amani na furaha mioni mwao.Wako watu wana vyeo vya juu lakini kila siku wanaugua mapressure kwa ajili ya wajibu zao zinawavingirisha kila siku.Tunapongelea 'Peace of mind" unahitaji kwenda to an extra miles to think of it and understand well what it means in humani life.  
  Reply by: Anonymous , Date: 2012-08-10 09:57:58 [Report Abuse]    
     
  Mnaosema eti uki cheat utapata VVU mbona siwaelewi?!!Hamjawahi kuona watu wana maadili, watu wa Mungu, lakini bado wamekumbana na VVU???!!! Hamjawahi kuona wakitaabika?? Hebu tafakari usemi huu: 'If you are afraid of suffering, already you are suffering from what you are afraid from' Tafsiri isiyo rasmi ni kwamba 'Kama unaogopa kutaabika, tayari unataabika kwa unachokiogopa' - maana yake ni kwamba, mfano unaumwa jipu, na limeshaiva, linauma kila dakika, liko tayari kupasuka, lakini ukiambiwa kwamba tulipasue, unasema aah, sitaki itauma! lakini tayari kila siku hulali, unaumwa sana na usiku hulali unalalama inauma, Pasua jipu, utapata maumivu kwa muda mfupi, kisha maisha yanaendelea!! Sio ukae kwenye mahusiano yenye maumivu na kutaabika kwingi kisa! maadili, Utakufa kwa depression bure!! Komaa, pambana, toka nenda katafute unachokitaka utulize akili yako!  
  Reply by: Anonymous , Date: 2012-08-10 12:04:05 [Report Abuse]    
     
  Pole sana BQ naelewa hali uliyoipitia naijua sana maana mimi pia nilitendwa kiasi cha kutaka kubeba makopo lakini niliapa kitu kimoja kuwa hawezi nibadilisha tabia niliyoanza nayo yaani niliyofundishwa na niliyoizoea eti nifanye kama ujinga na uchafu anaoufanya yeye, hiyo ilinipa moyo na kuweza kuyabeba yote katika yeye anitiae nguvu, nakubali kua inaumiza sana kiasi cha kuibua maradhi. Ni kweli kwa kipindi cha sasa ni hali ngumu sana maana vishawishi ni vingi vikiwemo simu mitandao na maushauri ya short cut ni mengi sana ila je unaamani moyoni unapoyafanya yale unayoyaona ni faraja, au unabaki na majuto na dhamira ikikuumiza milele, au kuibua mijadala mtaani na kuitwa malaya endapo utagundulika unacheza rough na wewe? ukweli ni kwamba bado mwanamke utabeba lawama na dhamira itakuuma kila unapoiona na kuikumbuka dhambi yako, pia huenda huko kwa kipozeo nako mambo ni hayo hayo anakutumia tu na wala hupati faraja ya kweli maana anachukulia maumivu yako kama sehemu ya kukuchezea pia, pia hata hiyo furaha haitimiliki kivile maana mambo yenyewe ya siri na wasiwasi na siku mkikutwa iwe na mumeo na mke wa jamaa yanaanza maumivu mengine ambayo yanapelekea kwa mwengine kuwa na kidonda pia jamani lazima tuishi kwa uangalifu ili kutoleta madhara zaidi isiwe mmoja kamwaga ugali mwengine mboga sasa hapo nani atakuwa na akili kati ya wawili nyie? hapo kweli watoto wataleleka mkishakolezana huko si mtajenga vibanda vitatu na kusahau mliyoyaanzisha awali? hivyo sio faraja pekee kuna madhila pia katika hiyo faraja ya muda, hivyo isiwe kigezo kwa mafanikio tu na madhara pia yapo tena huenda ni mengi sana sio vvu tu, Mimi nafikiri nitaumia pia nikiwa sipati faraja niliyoitarajia huko nitakakokimbilia nitaona ni yale yale tu ya nusu nusu hivyo bora nusu shari kuliko shari kamili, pia naelewa tunatofautiana jinsi ya hisia maamuzi na namna ya kuyachukulia mambo endapo utapata treatmemt ambayo si sahihi huko unakokimbilia maana utaenda na huyo siku moja kisha anakupiga chenga na kukusimanga labda kwamba mimi nina mke wangu bwana usije nivunjia nyumba je si utakuwa umeongeza maumivu mengine kujiona hufai zaidi? anyway kama mlivyosema huko juu kila mtu anamaamuzi yake na jinsi ya kujiuguza lakini hili la kuruka mkojo na kukanyaga mavi bora nibaki mpweke nitafute jinsi nyengine ya kujifurahisha ili maisha yaendelee. Poleni sana mlioumizwa naelewa maumivu yake pia naelewa madhara ya kujichanganya pia. Salua  
  Reply by: Anonymous , Date: 2012-08-11 01:32:36 [Report Abuse]    
     
  Salua, umesema vizuri sana mama.Naamini una moyo wa uadilifu na wenye kuona upande wa pili wa anayeumia.Nadhani umesema vema kwamba unaweza kukimbilia mahali ili uponee maumivu ukakuta kumbe nako unajiongezea shida. Ila tukumbuke kitu kimoja tu kwamba uchungu wa mwana aujuaye ni mama, na siri ya mtungi aiujuaye ni ni kata.Kila mtu ana sehemu tofauti sana na mtu mwingine katika kufikiri na kuamua.Pia vionjo vya watu vinatofautiana sana.Na zaidi ya hapo kila mtu hujikuna pale mkono wake unafikia.Maadili wote tumelelewa katika kuwa positive, lakini safari ya maisha ya mtu inakumbana na tufani isioelezeka kirahisi vile ambavyo huna kipimo cha uamuzi unaoweza kuchukua dhidi yake.Nadhani Salua umejitahidi kuweka bayana mambo kama kuelimisha jambo ambalo ni zuri sana kuliko wale wengine ambao wanajifanya ni malaika wasiweza kuwa na negative decision wanapofikwa na majanga. Mifano mingi iliyotolewa na shuhuda nyingi zinabainisha kuwa kila ndege huruka kwa baya lake na nafika mahali anapotaka kwenda kutua.  
  Reply by: Anonymous , Date: 2012-08-11 13:18:43 [Report Abuse]    
     
  cheating inaongeza matatizo wala haipunguzi esp kwa wanawake bora mwanaume akicheat kwao ruksa tu kwa jamii yetu ya kiafrika!!  
  Reply by: Anonymous , Date: 2012-08-13 08:31:58 [Report Abuse]    
     
  Mjadala umefungwa. Cheating ipo na itaendelea kuwepo kwani hayo ni maonjo tuuuuuu  
  Reply by: Anonymous , Date: 2012-08-13 08:54:01 [Report Abuse]    
     
  Wewe unajifanya unafunga mjadala ili tukubaliane na umalaya wako sio? Hebu acha kujitapa na kuonyesha ni mwenyekiti wa mjadala kwa kiburi.  
  Reply by: Anonymous , Date: 2012-08-14 09:22:55 [Report Abuse]    
     
  Ann wa hapo juu nadhani wewe ndiye uliyetangulia kuwa malaya na ndipo nami nikajifunza kwako na sasa sote tunaingia mitini kwa kwenda mbele.Unawezaje kumwambia mtu usiyemjua kuwa ni malaya?kama hujawa malaya unawajuaje walio malaya? Huwezi kuusifia uchawi kama wewe mwenyewe siyo mchawi. Hakuna aliyeandikwa mgongoni akisomeka malaya.sasa wewe unawaita wenzako malaya umewaona wapi wakifanya umalaya?hapa kinachoshughulikiwa ni matatizo ya kijamii ambayo kila mtu yanampitia na wengine kuwasababishia matatizo,hivyo tusibaki kutukanana matusi pasipo kufundishana namna ya kutatua matatizo yetu.Usitukane wakunga na uzazi ungalipo.  
  Reply by: Anonymous , Date: 2012-08-14 11:34:20 [Report Abuse]    
     
  mmmmmh huu mjadala umewagusa wengi hahahahahaha , watu wanakarbia kutoana ngeu wakati hata hawajuani duuuh INAONESHA JINSI GANI WANANDOA WANAVYOIBA RUTI HAHAHAHAHAH! wacha nicheke mie m still single n happy!! Mungu atunusuru tu na hili balaa la UKIMWI mwe!!  
  Reply by: Anonymous , Date: 2012-08-15 01:05:08 [Report Abuse]    
     
  Hahahahaaaaaaaaaa yangu macho na masikio jamani. Yote yaliyoongelewa hapa nimeyasikia na mengi nimeyaona kwa macho yangu,hata mbishane, mchekane au mfanyiane kebehi mnapoteza muda bure maana yote yapo na yanaendelea kutendeka.Palipo na mwanadamu pana ubinadamu.Na ubinadamu ni ule unaoguswa na kuumizwa na hatimaye hututafuta nmana ya kuuguza maumivu na vidonda ili na yeye abaki kuwa mwanadamu katika ubinadamu wa wale wengine wanaowaumiza wanadamu wengine.Furaha ya moyo wa mwanadamu huletwa na yeye mwenyewe pale nafsi yake inaporidhika kwa hatua anazoweza kuchukua au kuamua,na hiyo haitegemei ni negative au positive. Kwa mfano mimi naamini na huwa nafurahi sana kuona muuaji, anauwawa pia. mchukua mume/mke wa mwenzie,na yeye wake achukuliwe na wengine.Dawa ya moto ni moto.  
  Reply by: Anonymous , Date: 2012-08-15 10:14:05 [Report Abuse]    
     
  We mtu uliyejumuisha mawazo ya wote humu kwa kukutanisha mawazo yaliyotolewa toka angle tofauti na kujaribu kuja na wazo moja (conclusion) bila kuegemea upande flani nimependa sana uwezo wako. Aisee nikiweza kuchambua mada japo kwa robo tu ya uwezo wako natoka kivingine. Huna mpango wa kusoma PhD kama huna? sheria je? uandishi je? usuluhishi je? aisee you're brilliant!! sijui kama unajitambua na kwa kiasi gani. Nimekuadimaya sana. nandera  
  Reply by: Anonymous , Date: 2012-08-30 16:26:28 [Report Abuse]    
     
  Asante sana Nandera, nami nimeku-admire sana kwa dondoo zako zenye uhai na references za kutosha. uzuri wake tunajifunza na kufundishana ingawa wengine wako upande mmoja wa utendaji mema na bahati mbaya hata kutenda mema hawajui kabisa wanaimba midomoni tu wakati wanakaangwa mioyoni.  
  Reply by: Anonymous , Date: 2012-08-31 14:00:36 [Report Abuse]    
     
  auto insurance online 7184 insurance quotes >:)  
  Reply by: Anonymous , Date: 2012-10-25 12:49:48 [Report Abuse]    
     
  insurance quotes :OO car insurance fzleq  
  Reply by: Anonymous , Date: 2012-10-27 10:01:55 [Report Abuse]    
     
  auto insurance online 717344 a auto insurance >:[[  
  Reply by: Anonymous , Date: 2012-10-29 09:25:52 [Report Abuse]    
     
  order priligy online hav car insurance quotes cbs  
  Reply by: Anonymous , Date: 2012-11-06 09:05:07 [Report Abuse]    
     
  carinsurance ffck life insurance lynjx  
  Reply by: Anonymous , Date: 2012-11-07 20:06:19 [Report Abuse]    
     
  $%$I found your blog site on google and check several of the early posts. Continue to keep up the good work. I just added up your RSS feed to my MSN News Reader. Looking forward to reading through far more from you later on! [url=http://www.cheapcoachbagsfactoryoutletonline-storeh9.com]Coach Bags[/url] Coach Bags  
  Reply by: Anonymous , Date: 2012-11-20 09:52:55 [Report Abuse]    
     
  $%$One more new write-up with powerful points, I've been a lurker below for any brief time but wish to become a great deal much more engaged inside long term. Ugg Boots Clearance  
  Reply by: Anonymous , Date: 2012-11-24 04:18:45 [Report Abuse]    
     
  $%$Positive glad that I navigated in your web page by accident. I'll be subscribing to your feed in order that I can get the latest updates. Appreciate all of the details right here Uggs Boots  
  Reply by: Anonymous , Date: 2012-11-26 07:47:40 [Report Abuse]    
     
  $%$Very first factor , A large thank you for you to open my eyes. Coach Outlet Online  
  Reply by: Anonymous , Date: 2012-11-27 03:35:11 [Report Abuse]    
     
  #$%I thought that was extremeley exciting. Many thanks for your unusual details. I'll maintain using this. Uggs Clearance  
  Reply by: Anonymous , Date: 2012-12-05 16:18:13 [Report Abuse]    
     
  &(*&Funny, I was discussing this thing with my older sister the other day, now I'll have one particular much more argument in my hand when it'll appear to confrontation when once more. Coach Outlet Online  
  Reply by: Anonymous , Date: 2012-12-06 23:07:53 [Report Abuse]    
     
  &%$&Yes, thank for the details a million! Have to discover anybody organizing Tea Party. I wants to participate in organizing. Coach Outlet  
  Reply by: Anonymous , Date: 2012-12-08 05:23:20 [Report Abuse]    
     
  ^&($Very first factor , A large thank you for you to open my eyes. Ugg Boots Sale  
  Reply by: Anonymous , Date: 2012-12-10 23:40:58 [Report Abuse]    
     
  ^&($Hi, thank you so a great deal for these ideas! Prada Outlet  
  Reply by: Anonymous , Date: 2012-12-11 14:07:07 [Report Abuse]    
     
  *()&One more new write-up with powerful points, I've been a lurker below for any brief time but wish to become a great deal much more engaged inside long term. Coach Factory Outlet Online  
  Reply by: Anonymous , Date: 2012-12-13 01:49:10 [Report Abuse]    
     
  *()&great advice and discussing,I'll get this amazing for me .thanks! Louis Vuitton Outlet  
  Reply by: Anonymous , Date: 2012-12-14 06:14:48 [Report Abuse]    
     
  *()&Me and my friend were arguing about an problem similar to this! Now I realize that I had been correct. lol! Thank you for that information you article. Cheap Coach Bags  
  Reply by: Anonymous , Date: 2012-12-16 03:03:08 [Report Abuse]    
     
  *()&You guys have a wonderful website intending the following, KIU! Coach Outlet Online  
  Reply by: Anonymous , Date: 2012-12-17 00:09:16 [Report Abuse]    
     
  *()&That is some inspirational stuff. Never knew that thoughts might be this varied. Many thanks for all of the enthusiasm to offer such beneficial data right here. Coach Outlet  
  Reply by: Anonymous , Date: 2012-12-18 06:01:03 [Report Abuse]    
     
  *()&Hi there might I reference some of the insight here in this blog site if I reference you with a link back again on your site? Coach Outlet Enhance a light weight for your Asset  
  Reply by: Anonymous , Date: 2012-12-19 01:41:29 [Report Abuse]    
     
  *()&Incredibly cool! I assistance your view! Michael Kors Outlet Youll want to know how a long  
  Reply by: Anonymous , Date: 2012-12-20 00:49:40 [Report Abuse]    
     
  car insurance florida tnoe online auto insurance =-[[[ auto insurance rates lxz cheap car insurance dbkh purchase viagra ryeg  
  Reply by: Anonymous , Date: 2013-04-18 21:12:16 [Report Abuse]    
     
  cheap car insurance ntuspc levitra webster university film series 1532 car insurance quotes 696 degree programs online %-(( auto insurance quotes byxmle car insurance rates 11377  
  Reply by: Anonymous , Date: 2013-04-23 07:54:53 [Report Abuse]    
     
  auto insurance gavr classic car insurance qkoici discount auto insurance zqst a auto insurance 848 free car insurance quotes 63138 a auto insurance 928  
  Reply by: Anonymous , Date: 2013-04-24 05:43:39 [Report Abuse]    
     
  auto insurance vlqtxc viagra 8-((( car insurance 897157 levitra and alpha blockers 6759 auto insurance quotes 1689 cheap car insurance itikc a auto insurance 747  
  Reply by: Anonymous , Date: 2013-04-24 05:43:39 [Report Abuse]    
     
  auto insurance >:-DD car insurance rzi car insurance quotes 9372 cheap auto insurance ihyl schools online %) cialis 8878 cheap auto insurance =)  
  Reply by: Anonymous , Date: 2013-04-24 05:43:40 [Report Abuse]    
     
  buy viagra :]]] online college =-DDD cheap car insurance 7857 carinsurance fggp Acheter du cialis en ligne qktkwf  
  Reply by: Anonymous , Date: 2013-05-01 22:04:46 [Report Abuse]    
     
  auto insurance 05447 viagra for woman 537 cheap car insurance 8-PP cheapest car insurance tybkt auto insurance quotes wvwg cheap viagra bxtdc car insurance quotes vjs  
  Reply by: Anonymous , Date: 2013-05-07 15:26:17 [Report Abuse]    
     
  viagra >:PP cheap car insurance 47391 viagra %-D car insurance online 9844 viagra 8-OOO  
  Reply by: Anonymous , Date: 2013-05-09 21:08:24 [Report Abuse]    
     
  cheap viagra %DDD auto insurance quotes 726274 viagra propecia online gt vwy levitra lhuywq cialis 730 carinsurance sova  
  Reply by: Anonymous , Date: 2013-05-16 08:59:53 [Report Abuse]    
     
  car insurance online 043565 viagra 8-DD cialis jddad car insurance quotes 9381 levitra 842577 cialis online bypei cheap car insurance >:-PPP  
  Reply by: Anonymous , Date: 2013-05-16 08:59:54 [Report Abuse]    
     
  cialis crit auto insurance quotes 56570 viagra propecia online gt klkiu car insurance quotes 334 viagra =[[[  
  Reply by: Anonymous , Date: 2013-05-18 14:24:25 [Report Abuse]    
Submit your comment here...!
  Topic Cheating
  Reply
  Email Login/Register to use your username! (Click here)
   
  Enter Code
   
     
<<Back to Topics<< >> Reply to this message>><<EMAIL ME FOR NEW POST <<
womens pants, wedding dresses, wedding pictures, women shoes, wedding accessories, women nails, women hair, women message women send off, good wedding shoes and hotels
Any use of materials or photographs from HarusiYangu is strictly prohibited
© 2007. All Rights Reserved Designed and maintained by Bomba Designs